
ukhty dyda - twamsifu كلمات أغنية
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
wallah twasikitika, muhammad kututoka
jamii ya dhalilika, اخيل الصباح
wallah twasikitika, muhammad kututoka
jamii ya dhalilika, اخيل الصباح
sisi sote tul’o hapa, tw_tarajia baraka
kwanini waja twasita k_mswalia?
twamsifu msifika, mohamad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
hushangazwa na uuma, baadhi kutusakama
eti tunalolifanya tumelizua
hushangazwa na uuma, baadhi kutusakama
eti tunalolifanya tumelizua
an’okadiria allah, malipo tw_tarajia
tusiache mswalia, tumonadhiria
mwisho nauhasa umma, tusimame sote hima
aswaliwe wetu bwana muhammad ya
mwisho nauhasa umma, tusimame sote hima
aswaliwe wetu bwana muhammad ya
hidaya twaendelea, k_msifu ye nabiya
ah bila yeye tungekuwa gizani piya
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia
(twamsifu msifika, muhammad haso shaka
maana ametakasika, twamswalia)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
sifa zake nyingi sana (hadii bana)
mtume wetu heshima (hadii bana)
twapambika sifa njema (hadii bana)
kwa raha bila karaha (habibi)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
twamsifia hashima (hadii bana)
kipanzi chake karima (hadii bana)
kwa sifa kila aina (hadii bana)
twajivunia mtumwa mwema (leo)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
‘sikitika (hadii bana)
mohamad kututoka (hadii bana)
jamii ya dhalilika (hadii bana)
umma unateketa ah
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
sisi sote tulio hapa (hadii bana)
twaomba maji ya baraka (hadii bana)
kwanini waja twasita (hadii bana)
kwa huzuni _n_lia habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
hushangazwa na uumwa (hadii bana)
na radhi hutusakama (hadii bana)
lolote tunalolifanya (hadii bana)
tumelizua yatima jamani
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
anakadiria allah (hadii bana)
malipo tw_tarajia (hadii bana)
tusiache mswalia (hadii bana)
tuwe muhashimia habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
hidaya twaendea (hadii bana)
k_msifu mnabiya (hadii bana)
bila yeye tungekuwa (hadii bana)
giza tungejionea habibi
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
leo tuna mswalia (mtumwa mwema)
muhammad n’nabiya (mtumwa mwema)
masha allah
كلمات أغنية عشوائية
- ttc - (je n'arrive pas à) danser كلمات أغنية
- charles hamilton - virgin كلمات أغنية
- the b.o.m. from boston - amnesia (remix) كلمات أغنية
- akajou - gang (feat. bxg country) كلمات أغنية
- junior prom - sheila put the knife down كلمات أغنية
- iamjyoungin - fareal fareal كلمات أغنية
- jan - pn14 كلمات أغنية
- björn afzelius - häxjakt! كلمات أغنية
- cliff richard - mary's boy child كلمات أغنية
- @rap101 - atmosphere - guarantees كلمات أغنية