kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

tyoza - mama كلمات أغنية

Loading...

nikiangalia maisha yangu
uchumi w_ngu
nashindwa

huku nyumbani wadogo zangu
na ndugu zangu
wananitegemea

nikiangalia kazi yangu
mshahara w_ngu
nashindwa

nikimtazama mama yangu
mpaka machozi yananitoka

yale niliahidi toka mtoto
nitafanya kwako mama
kuna kujenga
kuna kukutunza
kuna kukulea

ninapok_mbuka
miaka ya kwako
umri un_z_di kwenda

mabaki nalia
machozi yananitoka
niombeeh niombe mama
niombeeh niombe mama

ninachokuomba mama
zidisha maombi×2

mama, eeeh mama eeh
(nakupenda mama)
mama eeeh mama eeh
(ayee umenitunza mama)
mama eeeh mama eeh
(nani kama wewe eeh)
mama eeeh mama eeh

come on mama
h_llo mama
sauti yako kichwani yajirudia

nakupenda sana
wako mwana
nak_mbuka maneno uliniambia

usimuache mungu
maana ya dunia yanachosha ni magumu
usihuk_mu walimwengu
wakikusema wewe muachie mungu tu
kuna wengine walitamani
wawe na mama duniani
ila kwa mapenzi ya manani
wapumzike kwa amani
mama
nakuombea mama
maisha marefu sana
wewe ni zawadi yangu
mungu akutunze mama
iyeeeeh

niombeeh niombe mama
niombeeh niombe mama

ninachokuomba mama
zidisha maombi×2

mama eeeh mama eeh
(nakukunda chane mama oh)
mama eeeh mama eeh
(we kipenzi cha moyo w_ngu)
mama eeeh mama eeh
(nani kama wewe mama)
mama eeeh mama eeh

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...