sugu (tz) - salamaleku كلمات الأغنية
[intro: sugu, balozi, & afande sele]
salamaleku, balozi
aleik_m salam, mr. 2
afande sele, salamaleku
aleik_m misalam, mr. 2
amani iwe kwa wote
[verse 1: sugu]
sema “asalam aleik_m”
niseme “aleik_m salam” (salam)
tunapeana salamu kutoka dar_es_salaam
bado wino unamwagika toka kwenye kalamu
sitangazi umwagaji damu
utamu wa amani wote tunaufahamu (tamu, tamu)
nishike mkono, nipe na tabasamu (tabasamu)
kokote unako kwenda nenda wape salamu (salamu)
toka afrika mpaka ulaya
kila nnako kwenda nakutana na watu wabaya (baya)
mungu ananiepusha na naimba, “haleluya” (haleluya)
mimi niko salama, nasimama natizama nyuma (wima)
wenzangu hawako salama
ni kama wanasubiri tu ifike kesho kiama
zama’ wote wananitazama, ndipo nasema
kina baba, kina mama
salamaleku
[chorus]
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salam
[verse 2: balozi]
wasalam alеik_m [?]
[?] watu, mimi na juk_mu la kuendeleza amani
barani afrika ‘kila kona nikitazama naona k_mеchaf_ka (peace, peace, peace)
kwanini hatuwezi kuishi bila kujali dini, ‘rangi au kabila
kila panapo kucha na’ mshukuru mola
amani bado ipo hapa kwetu
kila binadamu na wanadamu wenzake ni ndugu
au’ unasemaje mr. sugu, ‘sawa sawa (sawa)
mimi na gahawa tuendele [kuche?]
hapa kwetu hatutokubali kuwa na udikteta
tungekuwa tunawafundisha watoto wetu mambo mema mapema
tusingekuwa tunarudia kusema, amani idumishwe hapa kwetu (balozi, sema)
wasalam, aleik_m
[chorus]
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salam
[verse 3: sugu]
salamaleik_m
aleik_m salam
fungua macho, hicho ulicho nacho sicho ulichonacho
sema ni kipi cha thamani ulichonacho?
ni ustaarabu au ni pete na mikufu ya dhahabu?
(uh_huh)
mbona unanitazama kwa ghadhabu, au labda nazungumza bila adabu
nazungumza kwa sababu nna sababu kama kungoja nitangoja
roma haikujengwa siku moja
najaribu kucheka na adui zangu wako wengi, wengine ni ndugu zangu
mungu ndiye mlinzi w_ngu (iyah)
nasema salamaleik_m
hakuna anaye jibu, “walek_msalam” (vibaya sana)
wote wanatamani k_mwaga damu
ubinadamu kwao sio kitu muhimu
nani anapenda vurugu?
sisi sote ni ndugu
naomba tuishi kama ndugu
kwa wakristu na waislamu, ‘salam aleik_m
walek_m salam
[chorus]
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salamaleku (aleik_m salam) salam
salam
كلمات أغنية عشوائية
- mista mister - sick of music كلمات الأغنية
- yg - no love كلمات الأغنية
- ferrugem & iza - me perdoa كلمات الأغنية
- repuls!ve - like mitch كلمات الأغنية
- joss stone - winter wonderland كلمات الأغنية
- flightmoon - я до сих пор тебя люблю (i still love you) كلمات الأغنية
- lande hekt - cut my hair كلمات الأغنية
- el tormento - ya te distes cuenta كلمات الأغنية
- 三代目 j soul brothers from exile tribe - replay كلمات الأغنية
- peso pluma & raul vega - el belicon كلمات الأغنية