steve rnb - majaribu lyrics
[intro]
(ready)
[verse 1]
natamani mi nitoke
siko happy, siko okay
nahisi kama nimepotea
mengi majaribu
amenipa upendo wote
hakubakiza chochote
nahisi maumivu yake
ah, majaribu
[hook]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[verse 2]
nilidhani siku zote
yako hivi siku zote
mapenzi kw_ngu yamepotea
na jaribu (oh, oh)
[verse 3]
hivi alinituma nani
au nani anajua thamani
haya mapenzi yalikuwa zamani
bado na jaribu (majaribu)
[chorus]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[post_chorus]
mengi majaribu
mara maumivu
sina haja ya kuigiza
wala [kuumiza] moyo (yo)
mengi majaribu
mara maumivu
sina haja mi kuigiza
wala [kuuibia] moyo
[hook]
majaribu
mara maumivu
siko tayari mi kuigiza
mara [kuumia] moyo, yeah
[verse 4]
natamani mi nitoke
siko happy, siko okay
nahisi kama nimepotea
mengi majaribu
amenipa upendo wote
hakubakiza chochote
nahisi maumivu yake
haya majaribu
[chorus]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[post_chorus]
mengi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala
mengi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala
mеngi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala kuumia moyo
[inaudible drop]
كلمات أغنية عشوائية
- bino rideaux - cartier lyrics
- scy jimm - xs os lyrics
- deazzzy - go runned lyrics
- vladana - prevarena lyrics
- like mike - anymore lyrics
- cobras & saints - one lyrics
- lifter (pol) - w inny świat lyrics
- karsten walter - gib mir mehr lyrics
- halsey - so good (stripped) lyrics
- the seventh day - burn this fire lyrics