stara thomas - nashindwa lyrics
nashidwa hata kudanganya
moyoni nilivyo kupokea, eh
faraja ulivyo itimiza
hakuna atakayeweza fikia, eh
hakika umeyakamilisha
yale yote niliyo yatafuta, eh
na moyoni nimekukubalia
kwa lolote utakalojisikia, eh
k_mbuka, yale walosema
natuone sasa, kama mwisho utafika
k_mbuka yale walo sema
natuone sasa, kama mwisho utafika
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
pokea, ninayo kueleza
moyoni, yote uyafikishe, eh
tabasamu, unalo nipatia
hilo ndilo, linalo nifikisha, eh
wabaya, usiwasikilize
w_n_lengo, la kutusambaratisha, eh
na mapenzi, hayana muamana
rekebisha, unapo fikiria, eh
k_mbuka, yale walo sema
natuone sasa kama mwisho utafika
k_mbuka, yale walo sema
natuone sasa kama mwisho utafika
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
ah yeah, mimi na wewe
tupendane mpaka siku ya mwisho
hadi watu washangae, maama
كلمات أغنية عشوائية
- a-wa - א-וא - mmmbop lyrics
- wet boys - where dey at? lyrics
- allyn - 50x2 lyrics
- 100s - brick $ell phone lyrics
- raphael - escandalo - con la colaboracion de david bisbal lyrics
- collie buddz - too watchy lyrics
- dinal - lawsang zła lyrics
- babaman - dovevi essere mia lyrics
- perhaps contraption - lunch for the worms lyrics
- fame or juliet - p.o.a. (pledge of allegiance) lyrics