
sir yongo - hurulaini (feat. fo'real beatz) كلمات أغنية
[intro]
it’s sir yongo!
eh eh!
eh eh, eh!
[verse 1]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
nimekuchagua, naamini unanipenda
penzi nikaamua, sitoweza kukutenda
huba ni maua, harufu tamu imetanda
vile wanitambua, nitazidi kukuganda
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi, mw_ngu mtimani
nakuona wewe (eh eh!), mwenye thamani (eh eh, eh!)
[verse 2]
baby wacha n’nene (wacha n’nene), nakupenda sana
baby wacha n’seme (wacha n’seme), nakupenda sana
naeza fanya kitu chochote, kwa ajili yako
naeza fanya
ashizo baby
malavidavi nikupee, baby
penzi la dhati
mtoto mwenye figa, ninajua ulivyoumbika
sura wanaiga, kimwana umehulukika
madaha kama twiga, nikikuona nabambika
vile wanipendaga, kwako baby nimeshika
[chorus]
nakuona wewe, kama hurulaini
nimekuhifadhi (nimekuhifadhi), mw_ngu mtimani (mw_ngu mtimani)
nakuona wewe (nakuona wewe), mwenye thamani (baby una thamani)
katu sitoweza (sitoweza, baby), kukutupa chini (aaah!)
[outro]
ashizo baby
كلمات أغنية عشوائية
- kazimoretti - alchemy كلمات أغنية
- thorstein bergman - minnet كلمات أغنية
- franky style - calavera كلمات أغنية
- andré caplet - la mort des pauvres كلمات أغنية
- john dowland - if floods of tears كلمات أغنية
- jorrdee - intro (bɨere tʘmbale) كلمات أغنية
- 8 (jpn) - game كلمات أغنية
- no return - memories turns to ashes كلمات أغنية
- a fall to break - coming down كلمات أغنية
- rack c - antigo كلمات أغنية