
shetta - namjua كلمات أغنية
[intro]
namjua, (okay) namjua
namjua, (okay) namjua
namjua, namjua
namjua, namjua
[verse 1]
kuwa nae paradiso, mie nae uhai kwa kifo
kama babu na kiko, niko nae toka nausa sisal
akitembea lawama (namjua) eh, okay
huko nyuma danadana (namjua)
[pre-hook]
iwe kokwa, iwe ganda
akinipa najilamba
anavyolicheza vanga
timbwili kwenye kitanda
alele lelele
alele lelele
[hook]
mwenye ki-shape kidogo (namjua, namjua)
mwendo wake wa mikogo (namjua, namjua)
sura kama mtoto mdogo (namjua)
eh (namjua)
utamu wa embe dodo (namjua, namjua)
[bridge]
shusha nchungulie (adeedeede, eh, adeedeede)
nionee kwa mbali (adeedeede, eh, adeedeede)
j-po nshikilie (adeedeede, eh, adeedeede)
chungu au asali (adeedeede, okay, adeedeede)
[verse 2]
leo pochi imenona
mi nataka kutoka
vaa top ya kushona
nigonge suti na moka
tena ukiwaona
usije ukashoboka
tuwafungie na kona
maana marafiki nyoka
[pre-hook]
iwe kokwa, iwe ganda
akinipa najilamba
anavyolicheza vanga
timbwili kwenye kitanda
alele lelele
alele lelele
[hook]
mwenye ki-shape kidogo (namjua, namjua)
mwendo wake wa mikogo (namjua, namjua)
sura kama mtoto mdogo (namjua)
eh (namjua)
utamu wa embe dodo (namjua, namjua)
[bridge]
shusha nchungulie (adeedeede, eh, adeedeede)
nionee kwa mbali (adeedeede, eh, adeedeede)
j-po nshikilie (adeedeede, eh, adeedeede)
chungu au asali (adeedeede, okay, adeedeede)
[outro]
ale shusha nchungulie (adeedeede, eh, adeedeede)
nionee kwa mbali (adeedeede, eh, adeedeede)
j-po nshikilie (adeedeede, eh, adeedeede)
chungu au asali (adeedeede, okay, adeedeede)
كلمات أغنية عشوائية
- hazel (vnm) - anh كلمات أغنية
- sickobabyxo - som de vagabundo كلمات أغنية
- bigguccidame - can't carry the hate (psalm 69:29-30) كلمات أغنية
- burton_furr - gold digger كلمات أغنية
- نيبتون - eid el money - عد الموني - nxptune (egy) كلمات أغنية
- vintage.justin - honolulu كلمات أغنية
- jamar rose - better كلمات أغنية
- yellow pato - grand slam كلمات أغنية
- taken - reflect كلمات أغنية
- riding the low - above and beyond كلمات أغنية