
sele minamba - sherehe lyrics
magic sound
munno the k!ller
na mtu kwao akikwambia pale
ndio wapi vile kule
munno gusa
gusa tena
fanya kama unashika
zibua chuma
shereheeeeeeee
kama nyungu wameongezewa rondo
na hiii furaha
kama komba kafumania gongo
umewashwa muziki
na kuzizima rongo rongo
kushakucha kitambo
uwezi kuliona tongo tongo
wale nao
wamekuja kuenjoy
na sisi pia
tumekuja kuenjoy
wale nao
wamekuja kuenjoy
na sisi pia
tumekuja kuenjoy
leo good ka bless aifanani na jana
kafanya wepesi leo na mimi kaniona
mitungi mikasi na kuchanganya na nyama
yani kiroho safi feg ngah tutachoma
relax mwite waiter azungushe kama tulivyo relax
mwite waiter azungushe kama tulivyo
yani bora nisimuone kabisa
nikimuona nachoka mapenzi yanatesa
haaaeee
kweli mapenzi yanachosha
nikipata ni bora kuvuta izi shisha
haaaeee
kakata kati kati kopa kasahau
akukopa mi uwaga nalipa
haaaeee
kwеli izi noti shetani kaniacha kaenda k_mfata kibopa
haaaeeee
mwite waitеr azungushe kama tulivyo
relax
mwite waiter azungushe kama tulivyo
Random Lyrics
- kc beck - the machinist lyrics
- andy partridge - all of a sudden lyrics
- semiautomatik - track 02 lyrics
- neverblueskyy - designer lyrics
- wasiu - lazarus lyrics
- ashtrey - miserable lyrics
- air hockey - wye river lyrics
- amon (pt) - balas e dor lyrics
- suob - tengo una niña en el ig lyrics
- fia moon - better days lyrics