
sauti tamu melodies - watumishi wake baba كلمات أغنية
watumishi wake baba w_ngapi waliopo
wanakula na kusaza chakula chake baba
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba kamwona yu mbali kashikwa na huruma
akakimbia k_mlaki kamk_mbata na busu
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba sistahili tena kuitwa mwana wako
unifanye kama mmoja wa watumishi wako
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
baba yangu nimekosa ninaomba huruma
unisamehe nirudi nikakutumikie
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
wanikaribisha mimi kwenye karamu yako
meza imeandaliwa inaningoja mimi
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
nasogea ninakuja ninakukimbilia
mimi ni mtoto mpotevu baba unipokee
nami _ nami nataabika hapa
nashi _ nashiriki na nguruwe
chaku _ chakula kisichofaa, yanipasa kurudi
nita _ nitarudi na kusema
baba _ baba yangu nisamehe
nime _ nimekosa kwake mungu, na mbele yako baba
كلمات أغنية عشوائية
- quentin miller - still here كلمات أغنية
- fitri tamara - ku rela كلمات أغنية
- lionville - heaven is right here كلمات أغنية
- thursday's youth - さよなら كلمات أغنية
- ali lohrasbi - hamechiz injast كلمات أغنية
- koboogie - dont be mad at كلمات أغنية
- 片平里菜 - lucy كلمات أغنية
- boulevard depo - burnout* كلمات أغنية
- lil kleine feat. ronnie flex - loterij كلمات أغنية
- cousin stizz - all star كلمات أغنية