
ruby - alele lyrics
its bob manecky.. heeh yeaah…
nikisema nitakufa
kisa mapenzi, moyoni nitamkosea
wanayadhani nina ufa
hakuna mwenzangu, nyumba inamdondokea
mi najua
sina dhamani kwako utanik-mbuka
nishatenda wema
mi nakwenda zangu utanik-mbuka
poleza na moyo we, mwaya we
najua amekuumiza
ila yupo mungu, baba
najua atalipiza
6 fast rising nigerian artist to watch out for in 2019
pole sana moyo, mwaya
najua amekuumiza
ila yupo mungu,baba
najua atalipiza
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
kwa mitaa jamaa anaandamana
kweli mapenzi y-n-liliwaa
niliachaga drama na ujana
eey yeah…
yalianzaga enzi
ikanenaga na nafsi acha nivumilie
jamani mapenzi
yamekuwa hadithi acha nisimulie
poleza na moyo we, mwaya we
najua amekuumiza
ila yupo mungu, baba
najua atalipiza
pole sana moyo, mwaya
najua amekuumiza
ila yupo mungu,baba
najua atalipiza
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo…
alele, nishalia
alele, nikaumia
alele, sina dhamani kwako
alele, mtima ulilia
alele, maana wengine wapo
كلمات أغنية عشوائية
- the raveonettes - bubblegum lyrics
- seeds lightning - where flowers fade lyrics
- seeds lightning - sugar coated iceberg lyrics
- seeds lightning - ready or not lyrics
- seeds lightning - perfect lyrics
- seeds lightning - pure lyrics
- seeds lightning - change lyrics
- seeds lightning - blowing bubbles lyrics
- seeded crown - make no mistake lyrics
- the ravens - that's so raven theme song lyrics