rorexxie - jieleze lyrics
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
kabla sijazaliwa uliitwa ′beautiful’
wala hukujutia kupoteza ule uziri (kupoteza ule uziri)
mimba ukafurahia ukanileya mpaka naanza school
ukanikataza mabaya, nakunifunza mazuri
mama, baba anatazama
nakuwatunza mama na wana
kitu kidogo lawama
wa kwanza, anataka msosi
wa mwisho, maziwa halisi
wakati anaumwa anahisi, hapendwi homa hazimwishi
niite ′mkushi’, ila sikitu bila mama kushi
sipingi sibishi mama kushi nizaidi ya mjeshi
niite ‘mkushi′ ila sikitu bila mama kushi
sipingi sibishi mama kushi nizaidi ya mjeshi
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
hata kama jizi wakula majalalani
mama yako ni wako, jirani na wajirani
wakwako tajiri wa kw_ngu ni masikini
mumezaliwa wawili sisi tuko kama k_mi
kichwani na mzigo, mgongoni na mtoto
kazi kubwa na ndogo, zote yeye
kichwani na mzigo, mgongoni na mtoto
kazi kubwa na ndogo ooh
pole, mama kushi, matatizo huwa hayaishi
pole, mama kushi
usingependa mi′nisingeishi, leo!
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
(jieleze, jieleze)
(jieleze, jieleze)
(ntajieleza mama aah)
(nitajieleza mama aah)
كلمات أغنية عشوائية
- a1exander - курить (smoke) lyrics
- oracle spectre - valley of the flies lyrics
- stripclab - diabla lyrics
- rcbros - demonic trio lyrics
- курган (kurhan) - поїзд (train) lyrics
- harmz (can) - this moment lyrics
- truth (ccm) - just like he said he would lyrics
- peter sommer - lad mig forlade dig, før du forlader mig (psphpt) lyrics
- stratosphere project - stratosphere lyrics
- westleiigh - juu mi ni mkenya lyrics