
rodjazz - oksijeni كلمات أغنية
oksijeni lyrics
song title: oksijeni
verse one
kama jua kuwaka kati ya usiku
ilivyokuwa haiwezekani, ndivyo ilivyo kw_ngu
kujifanya nimesahau kila kitu
wakati sura yako ndiyo
naiona nikifumba macho
bado nakupenda
moyo w_ngu unao
wewe ni kila kitu kw_ngu
mbali huko uliko
pumzi yangu unayo wewe
nakupenda
chorus
bado maswali ni mengi lakini poa
nitakuwa salama
moyo umekukosa lakini poa
nitakua salama
unazurura, zurura akilini
ooh unazurura zurura akilini
verse two
oh, baby oksijeni yangu
chumba spesho cha moyo w_ngu
nimeona mengi maajabu
lakini kwako ninastaajabu
nimeona jua likich0m_za magharibi
mwezi ukiwaka alasiri
maji yakipanda kitonga
lakini yako bado ni mageni
bado nakupenda
moyo w_ngu unao
wewe ni kila kitu kw_ngu
mbali huko uliko
pumzi yangu unayo wewe
nakupenda
chorus
bado maswali ni mengi lakini poa
nitakuwa salama
moyo umekukosa lakini poa
nitakua salama
unazurura, zurura akilini
ooh unazurura zurura akilini
كلمات أغنية عشوائية
- novo combo - do you wanna shake? كلمات أغنية
- crane like the bird - wishing cap كلمات أغنية
- rubayne - have it all كلمات أغنية
- lee fields & the expressions - wake up كلمات أغنية
- the sausages - post office blues كلمات أغنية
- skiido - tenorr كلمات أغنية
- peter parsons - the brexit song (we'll be strong) كلمات أغنية
- dru bex - navigator 2020 كلمات أغنية
- starfox - pink lemonade كلمات أغنية
- petty party - time (feat. lew salem) كلمات أغنية