
rich mavoko - nita كلمات أغنية
nnzi kufia kwenye kiponda si haramu
lengo isiwe fimbo
usiweke furaha kwa kivuli tu
ivi itakuwaje ntapetape
na mwenye nacho upo
sitaki vita baridi
nichimbe upendo bandia
neno la mbali kwetu ni usiku wa kiza
usiombee penye ukimya mshindo utokea
ms’iba wa wengi si kama sherehe
tukiachana tufanye sherehe basi
niamini mimi
sumu fundo la rohoo
unajua nakupenda (we nataa)
basi unaringaa (we nataa wee)
kuna wengine wanatamani (we nataa)
watakuja kuzima (we nataa wee)
muosha ustli maiti
ndo kwenye siri unapo nisaliti
mteuzi eshi tamaa
ushindwe majani ule nyama
nimekubali weka mikono juu
siwezi siwezi wewe
hatupimani ubavuu
tusishindane kwa makuu
nshaweka nembo
usigeuze lengo
msiba wa wengi si kama sherehe
niamini mimi
sumu fundo la rohoo
unajua nakupenda (we nataa)
basi unaringaa (we nataa wee)
kuna wengine wanatamani (we nataa)
watakuja kuzima (we nataa wee)
we nataa wee, we nataa wee
we nataa wee
كلمات أغنية عشوائية
- why mona - we will rock you كلمات أغنية
- florian picasso feat. martin garrix - make up your mind كلمات أغنية
- lacs - island time كلمات أغنية
- sevin - in my hood كلمات أغنية
- lacs - let me know كلمات أغنية
- prabath akalanka - danena duka sangawa كلمات أغنية
- smp - grateful كلمات أغنية
- ruta uno - llévame en tu fuego كلمات أغنية
- mvgv - ecstasy كلمات أغنية
- ken-y - princesa كلمات أغنية