rapcha - bado كلمات الأغنية
sjui nakosea wapi, show me how to love
labda nina upendo mwingi pesa chache, that’s all i have
hata nikikupa zawadi ndogo fanya kuithamini
coz you give what you love to the one you love
haiba yako ilinionesha tokea mwanzo hujatulia
ila moyo w_ngu ukakung’ang’ania
kwakuwa naudekeza nkauachia
ukakupenda kinoma, moyo koma, na we ujifunzage kusikia
umenionesha vituko
najitahidi sana nsichepuke k_mbe kwako mi ndo mchepuko
unakuta kuna mwana madem wanamtema bila reason
huku mwingine anaenjoy playing girls in the same circle
waga tu unashtuka uko deep
usifall inlove bora ufall asleep
matonya alimlilia anita nlikua mdogo sik_mwelewa dah
ukishampenda hata ukimcheat hauskii raha
na kukuacha kisa unanicheat
sawa na kuikimbia mvua maana kila mtu anaweza cheat
ntakuvumilia maana we ndo unanifit
chagua unipеnde ama unizike six feet
chorus
nilivyotegеmea malengo yangu
k_mbe haikuwa hivyo
niliona number one nafasi yangu
k_mbe ilikua zero
oh baby
j_po bado nakupenda
ila mie sina nitachokitenda zaidi ya upendo juu yako
verse 2
kuna cousin yako mmoja handsome boy
unapenda k_mpost sana kila siku
juzi ulienda k_mcheki kwao na alikua peke yake mkashinda na mkalala wote mpaka usiku
(no baby usiku!?)
ukanambia huyu cousin yangu hanifanyi kitu
acha wivu mi nalala huku
na ushatoka nae mara kibao
text unachelewa kujibu unasingizia shida mtandao
sihitaji unipe password
ila nambie tu kwanini tukiwa wote simu unaiweka flight mode
una bodaboda wako unamuamini
huwa ananiangalia kwa huruma ka ana kitu moyoni
na kuna bwana wa best yako alikuleta na gari
kwenye simu umemsave shem darling
baby i’m so f_ckin p_ssed right now
tyrna get you out of ma head na nikusahau
nazoea mateso ila daily unanichenjia mapigo
umeuharibu moyo umeiachia pombe inimalize figo
nguo zako ulizoziacha home zinanitesa
ndani umeacha marashi yako kwenye kila ulichogusa
sijafuta picha wala namba kwenye phone
baby ukihisi kunihitaji please get back home
chorus
nilivyotegemea malengo yangu
k_mbe haikuwa hivyo
niliona number one nafasi yangu
k_mbe ilikua zero
oh baby
j_po bado nakupenda
ila mie sina nitachokitenda zaidi ya upendo juu yako
كلمات أغنية عشوائية
- andy williams - the three bells كلمات الأغنية
- andy williams - begin the beguine كلمات الأغنية
- andy williams - for the good times كلمات الأغنية
- andy williams - pennies from heaven كلمات الأغنية
- andy williams - it could happen to you كلمات الأغنية
- andy williams - some children see him كلمات الأغنية
- andy williams - gigi كلمات الأغنية
- andy williams - song sung blue كلمات الأغنية
- andy williams - we need a little christmas كلمات الأغنية
- andy williams - what child is this كلمات الأغنية