rapcha - amen remix lyrics
Loading...
verse 1: {rapcha}
nilipohisi upweke kwenye moyo na mawazo kunichakaza
wanadamu nikawaomba msaada wakanitangaza
nikainua macho kwako, ukaniambia mwanangu nikabidhi shida
ukanifuta chozi nikanyamaza
sina cha kulaumu
neno lako ladumu
nikikuamini una rahisisha nnayoyaona magumu
umenipa muda mrefu wa kujaribu kujirekebisha na kutubu dhambi kabla haujanihuk_mu
kazi za dunia zinafanya nikusahau
na ninasahau kuwa we ndo unae nipa nguvu ya kuzifanya
lakini bado unanipenda sana
ungehesabu makosa yetu hakuna ambaye angebahatika kukuona
kukuamini inabidi
uliruhusu nif_kuzwe kazi ili unipe nzuri zaidi
unajua hamu niliyonayo ya kuiona pepo
nijalie nife kwenye imani ntapofika mwisho
amen
كلمات أغنية عشوائية
- mc rafaello - weed and chill 2 lyrics
- team guillotine - microphone killa (zip loc remix) lyrics
- lauren crosby - no worries lyrics
- king von - no pops lyrics
- sina - fammi sentire / come mille vortici lyrics
- emily faith - this is faith lyrics
- jonas v - speis flex lyrics
- lee su jeong (이수정) - cosmos lyrics
- rile - iz x-a lyrics
- flip kowlier - in de vaert lyrics