rama dee - usihofie wachaga lyrics
[intro]
sioni
hatari mbele ya penzi letu
(ooh, ooh)
(and the_)
[verse 1]
pendo letu
lifike mbali
ooh, baby
tulinde love
(kupendana)
waepuke mashosti wote
wasio na maana
[verse 2]
hapa duniani
wabaya wamezidi nguvu wazuri, mpenzi
(mpenzi)
hata manabii
walipigwa mawe usoni
moyoni haikuathiri
(penzi)
[chorus]
usihofie colour, ‘gizani, mw_nga
i love you
baby, mi ndio taa
usihofie wachaga,’wahaya, mama
upendo hauchagui kabila
[pre_chorus]
hatari, mola atuepue
baraka, mola atushushie
(na_na_na_na, na_na_na_na)
maudhi yasitupitie
furaha kubwa ituingie
(na_na_na_na, na_na_na_na)
[bridge]
mwana mosi, eh
mwana mosi
mwana mosi, eh
mwana mosi
[verse 3]
nisimulie
hadithi nzuri zenye muendelezo
za mahaba
nifarijike
nik_mbatie
ukihisi msongo wa mawazo
nitakushusha presha iwe normal
[verse 4]
kwani, kuelewana
kushikamana
kuridhiana
ndio nguzo imara
tuеpushe utata
nasi tufike tommorow
hivyo ndivyo love
usionе watu wakiishi kwa furaha
wamefungua kurasa
(baby)
[chorus]
usihofie colour, ‘gizani, mw_nga
i love you
baby, mi ndio taa
usihofie wachaga, ‘wahaya, mama
upendo hauchagui kabila
[pre_chorus]
hatari, mola atuepue
baraka, mola atushushie
na_na_na_na (pendo letu)
na_na_na_na (oh, love)
maudhi yasitupitie (mimi nawe)
furaha kubwa ituingie
na_na_na_na (?)
na_na_na_na
(baraka na_)
hatari, mola atuepue
(penzi letu)
baraka, mola atushushie
(heri yetu, hey…)
na_na_na_na
na_na_na_na
(na baraka)
maudhi yasitupitie
(kwenye nuru yetu)
furaha kubwa ituingie
(heri yetu, baby)
na_na_na_na
(ooh)
na_na_na_na
(nah…)
[outro]
usihofie colour, ‘gizani, mw_nga
i love you
baby, mi ndio taa
usihofie wachaga, wahaya, mama
upendo hauchagui kabila
(instrumentals)
كلمات أغنية عشوائية
- i camillas - dracula lyrics
- 1.kla$ & czar - rap shit lyrics
- young lungs - drunk dial lyrics
- haken - crystallized (live) lyrics
- the louk - sin motivo lyrics
- léoparleur - revoir la mer lyrics
- zero (pl) - concrete/2 lyrics
- 38 special - back where you belong [live from texas] lyrics
- freddie lou - soft / slim lyrics
- blackholedream - the game lyrics