kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

queen darleen – touch كلمات اغاني

Loading...

verse 1
basi gusa changu kiuno
nami nitulie
bila mfupa nnavyokata
lazima usimulie
weka nukta shika hapa
na mimi niugulie
kama guta sema popote
mwenzako niikalie

bridge
naitakasa nafsi na roho darling
we ndoo yangu khabari
kwa wengine sina habari
umenionjesha asali
nimewaka ka kibatali
uno hadi juu ya dali
niongoze nkuhonge ka gari
kandamiza huo msumari

chorus
me napenda ukinishikagaa (enhee)
unanitouch touch touch (enhee)
unanimaliza (enhee)
sema nikushike wapi (enhee)
me napenda ukinishikagaa (enhee)
unanitouch touch touch (enhee)
unanimaliza (enhee)
sema nikushike wapi (enhee)

verse 2
kwako nimekuwa zuzu
tena siwezi ganduka
sijui umenipa juju
nikikuona napandwa mizuka
me nasema waziwazi
mwenye wake aje amchukue
utamu wa wali n-z-
nasema vya ndani usisimulie
meli imeweka nanga
me ndio wake mahabuba
siendi kwa mganga
sijawahi k-mloga

bridge
naitakasa nafsi na roho darling
we ndo yangu khabari
kwa wengine sina habari
umenionjesha asali
nimewaka ka kibatali
uno hadi juu ya dali
niongoze nkuhonge ka gari
kandamiza huo msumari

chorus
me napenda ukinishikagaa (enhee)
unanitouch touch touch (enhee)
unanimaliza (enhee)
sema nikushike wapi (enhee)
me napenda ukinishikagaa (enhee)
unanitouch touch touch (enhee)
unanimaliza (enhee)
sema nikushike wapi (enhee)

outro
baby uutamu kolea (utamu)
utamu kolea (nimenogewa)
uutamu kolea (yani tamu sana)
utamu kolea
hasa baby niongeze (utamu kolea)
nishike na hapa (utamu kolea)
na kajicho nilegeze (utamu kolea)
nikanyage kama rapa (utamu kolea)

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...