
p-funk majani - tunashine كلمات أغنية
[intro]
yeah
(kimya, kimya)
you know what (yeah, yeah)
low key
[chorus]
uh, hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ’elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ‘elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
(kimya, kimya)
[verse 1: rapcha &]
dream life iko kwenye [?]
issh!
life lina panda bei, sio cheap
wakati tuna rise by lifting others
mabosi wana rise by milking others
yeah, all the way to the top ’and no stopping
kufika hapa usiulizе tumetoka wapi
maisha magumu yametukuza ‘no cappin
na hivyo ndivyo ambavyo tumejifunza how to rapping
imani kwеnye kazi tu
money, money careful
jasho likishuka chini, tunakwenda top juu
jasho livuje nini, pesa iko perfume
fake wote tunawafinyia chini chapu
yeah, nisharuka ukuta nyumbani, kurudi usiku
hadi nikaf_kuzwa ila wala sikuona ishu
nikazitafuta cause hata sikuwa na kitu
saa hivi nikishtuka mjengoni, najionea peace tu
[chorus]
hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ‘elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ‘elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
(kimya, kimya)
[hook]
tunataka chetu fasta
(kimya, kimya)
siku nzima si ma hustler, ah
tunataka chetu fasta
(kimya, kimya)
siku nzima si ma hustler
[verse 2: conboi cannabino]
yeah
mtaani nime chill kwenye corner
(kimya, kimya)
mishe non_stop ukiniona
j’s on my feet when i’m steppin
ain’t tryna be good ’n_gga, i’m tryna be [greatin’]
[verse 3]
nikikamata cash ukiniona
niko nime chill na ma_stoner
and everyday i’m tryna get more
mpaka tukiumana street (yeah)
wani treat ka mo
[verse 4]
same old hustle, just a different ways
(?) niko (?)
mshkaji i don’t play
wapo wanao hate, i don’t care what you say to me
macho kwenye cheddar, ’moking like a days in a week, uh
[verse 5]
low key ‘na siogopi
nishajikoki, sidondoki
nasichoki, ninafosi nijaze pochi na minoti
sitaki gossip, hapa noti
(kimya, kimya)
[chorus]
hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ‘elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
hatuna kitu
tunataka ku_shine
so, inabidi tu ‘tu waste no time
pole pole ‘elevate, tuna grind
mwendo juu and we never go down
(kimya, kimya)
[hook]
tunataka chetu fasta
(kimya, kimya)
siku nzima si ma hustler, ah
tunataka chetu fasta
(kimya, kimya)
siku nzima si ma hustler
oh, oh, oh…
(kimya, kimya)
oh, oh, oh…
oh, oh, oh…
(kimya, kimya)
كلمات أغنية عشوائية
- de mono - kołysanka dla okruszka كلمات أغنية
- ogün sanlısoy - korkma كلمات أغنية
- alpha tha don - yikik (yeah i know, i know,) كلمات أغنية
- thoyoo d - ride for me كلمات أغنية
- the federales - under your gun كلمات أغنية
- lil verx - batman كلمات أغنية
- lee hendrix$on - a man apart freestyle كلمات أغنية
- the ahab dilemma - don't save it all كلمات أغنية
- 화자 (hwaja) - 저녁 (sunset) كلمات أغنية
- the peppermint rainbow - walking in different circles كلمات أغنية