otile brown - acha waseme lyrics
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk_mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w_ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
كلمات أغنية عشوائية
- snog - the last diamond lyrics
- snog - the universe lyrics
- snow white the 7 dwarfs - bluddle-uddle-um-dum (the washing song) lyrics
- snow white the 7 dwarfs - i'm wishing lyrics
- snow white the 7 dwarfs - music in your soup lyrics
- snow white the 7 dwarfs - one song lyrics
- snow white the 7 dwarfs - some day my prince will come lyrics
- snow white the 7 dwarfs - the silly song lyrics
- snow white the 7 dwarfs - whistle while you work lyrics
- snow white the 7 dwarfs - you're never too old to be young lyrics