kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

nuh mziwanda - jike shupa كلمات أغنية

Loading...

[verse 1 : nuh mziwanda]
nipeleke kwa mganga, na mimi nataka w_nga
maana mapenzi yamenikoroga kinoma
anachanje chale mwili mzima
nisimk_mbuka ata jina, yule hasidi
gaidi wa moyo w_ngu
anachanje chale mwili mzima
nisimk_mbuka ata jina, yule hasidi
gaidi wa moyo w_ngu

[pre_chorus : nuh mziwanda]
haya mapenzi basi, nimeyavulia shati
kupendwa ni ajira, na mimi sina vyeti
haya mapenzi basi, nimeyavulia shati
kupendwa ni ajira, na mimi sina vyeti
kule kukusifia, mabaya kukufichia
mbele ya mama, oh baba, oh mama, oh lala
mapenzi si ubondia, najikaza huku nateketea
bora nijivue, nisijisumbue
mapenzi si ubondia, najikaza huku nateketea
bora nijivue, nisijisumbue

[chorus : ali kiba]
eiii
sasa basi, inatosha, nimekopesha mwili w_ngu
bila kuogopa
k_mbe jike shupa
ata kwenye karata, huku unaruka kila sehemu umeshapita
sasa basi
[verse 2 : nuh mziwanda]
ulijidai kunipima akili kwa mizani
kuniendesha kama toy, kukosa nuru kutwaa kuzama
ukanikinai na aibu kunitia hadharani
kuniona sifai masikini nimekosa nini

[pre chorus]
haya mapenzi basi, nimeyavulia shati
kupendwa ni ajira, na mimi sina vyeti
haya mapenzi basi, nimeyavulia shati
kupendwa ni ajira, na mimi sina vyeti
kule kukusifia, mabaya kukufichia
mbele ya mama, oh baba, oh mama, oh lala
mapenzi si ubondia, najikaza huku nateketea
bora nijivue, nisijisumbue
mapenzi si ubondia, najikaza huku nateketea
bora nijivue, nisijisumbue

[chorus : ali kiba]
eiii
sasa basi, inatosha, nimekopesha mwili w_ngu
bila kuogopa
k_mbe jike shupa
ata kwenye karata, huku unaruka kila sehemu umeshapita
sasa basi
[outro]
inauma, inauma, inauma, inauma
inauma, inauma, inauma, inauma

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...