
nandy - yuda lyrics
(kimambo on the beat)
nimemyosha w_ngu yuda
vyake vitamu najipakulia
kungwi nimefundo
wake ma ex ndo wanaumia
walisema limevunda
sasa jikoni ndo linanukia
ye ndo w_ngu kiti
tena hachoki nikimkalia
na tena siku hizi nanenepa nanawiri
yamenoga mapenzi na yameshamiri
anipa vidogo na vikubwa tamu sio shubiri
nyumbani k_menoga huniponza mwili
ananilete chumbani, nikoleze w_ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
kanipa sikio ananisikiliza
malumbano ndani hana
nimepitisha f_gio na hawezi kuniliza
mashindano ndani hana
nimefundishwa na mama, k_mlea bwana
akitakaga nyama, nampaga na tena
ananilete chumbani, nikoleze w_ngu hunnie
tunacheza kibaba mama, kibaba mama
wakienda vitani sisi tuko nyumbani
aniteach inama, inama inama
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
n_z_waume roho zao
Random Lyrics
- rosetta stone - friends & executioners (e.scape) lyrics
- ratata - allt jag vill lyrics
- ratata - bara du lyrics
- ratata - clarence lyrics
- ratata - demonerna lyrics
- ratata - en timmes panik lyrics
- ratata - ett ett lyrics
- ratata - han kom aldrig igen lyrics
- roses are red - leaving detroit lyrics
- ratata - himlen lyrics