
nandy - powerful lyrics
nilipotoka nilipona, na vijimateso nilionja
mola ananiongoza, najiepusha na ulofa
niko huku ako kule
huyu ndio mungu bwana hawezi vuruga game
na we ndo kinara huku ako kule
ameninyoosha sana nijajitambua
i am powerful, sababu yako
cause you’re powerful, zaidi yao
madugudugu, shauri zao
amani moyoni, kutoka kwako
zaidi, zaidi yao, zaidi
wahenga wahenga walisema aliyejuu mngojee chini
mimi msichana was kisasa siwezi suburia chini
niko gadogado, napambana bado
imani yangu kwako ndo nguzo kwako
niko gadogado, napambana bado
imani yangu kwako
i am powerful, sababu yako
cause you’re powerful, zaidi yao
madugudugu, shauri zao
amani moyoni, kutoka kwako
walisema sina na sitoweza weza kupata na ndo maana leo(wamefyata)
walisema sina nyota yangu ya punda ndo maana leo
i am powerful, sababu yako
cause you’re powerful, zaidi yao
madugudugu, shauri zao
amani moyoni, kutoka kwako
i am powerful
zaidi, zaidi yao, zaidi
sababu yako
zaidi yao
shauri zao
kutoka kwako
cause i’m powerful
Random Lyrics
- dan mccafferty - looking back lyrics
- ace hudson - ghost girl lyrics
- shy (15zero76) - tegole lyrics
- shirley carvalhaes - de volta pra casa lyrics
- full house b.c. - hard to tell lyrics
- elina konstantopoulou - στο κύμα, στ’ αεράκι (sto kyma, st' aeraki) lyrics
- resistance (be) - nihil lyrics
- surrija - nothing love lyrics
- obie bermúdez - di algo amor lyrics
- wade, black halo - lady luck lyrics