nandy - nipo naye كلمات أغنية
[verse 1]
asante baba kwa kuikata kiu yangu
nimekuwa shahidi, shahidi nimeuona ukuu wako
imani haba umeitoa ndani yangu
umekuwa mfariji, mfariji tena mshauri w_ngu
umerudisha tumaini langu wajua (baba eeh)
wanilinda kila nikipiga hatua
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
ah baba
hajaniacha, nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
[verse 2]
naelewa fikra kuna kutabasamu na kulia
mengi umeniepusha mengine hata sikutarajia
pale nilipolia ulinifuta chozi na ukanishikilia
umenitoa hatia, umenivika taji leo nafurahia
[pre chorus]
tena umeondoa fedheha na mashaka yote
pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
[chorus]
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo nayе
ah baba
(hajaniacha) nipo naye
nipo na yesu
(baba) nipo naye
mmh
كلمات أغنية عشوائية
- gentle waves - sisterwoman كلمات أغنية
- soul asylum - judge كلمات أغنية
- j tillman - above all men كلمات أغنية
- anne murray - a stranger in my place كلمات أغنية
- mandy patinkin - coffee in a cardboard cup كلمات أغنية
- feat plan b don omar - hooka (feat. plan b) - don omar كلمات أغنية
- geoff moore the distance - the vow كلمات أغنية
- ricardo montaner - me va extranar (unchain my heart) كلمات أغنية
- deon kipping - i don't look like (what i've been through) كلمات أغنية
- tiny tim - ever since you told me you loved me (i'm a nut) كلمات أغنية