
mwanafa - hata sielewi كلمات أغنية
faaalsafaa
falsafa hommie
samaa
are you listening?
verse i;
bonge la mtoto/bonge la zigo/
naamini sioti coz naipenda hii ndoto/
sitoi boko/na naamini hayuko soko/
ntamvisha pete leo leo/
sio wa mchezo ka kazi ya kwenye video/
ananikaanga roho/ananisaga moyo/
sipo sawa akili imevurugwa nayo/
nilikuwa poa tu kabla hatujakutana/
gangster kama mimi hakuna/
hana wasiwasi anatembea kama hataki,anajivuuta/na kila hatua ina nukta/
kiuno cha nyigu/rangi ya kinugu/
nashangaa maujuzi ya mungu/
hakuna kovu hakuna sugu/
maswali bila ya majibu/
hook:
so unafanya nionekane chizi/
hata sielewi nini la kufanya/
akili hazifanyi ka zimekufa ganzi/
hata sielewi naona nyota mamaa/
where you coming from?/
hata sielewi/sielewi/
where you coming from?/
hata sielewi/sielewi/
sielewi sielewi eeh,eeh
sielewi sielewi eeh,eeeh
verse ii;
sielewi lugha nyingine/
macho yamegoma hayaoni kiumbe mwingine/
huyu ntakopa ntaazima/ila lazima/
ninyooshe mji mzima/
acha moyo unibebe unipeleke unapotaka/
ntarudi siku ukitaka/
im all in,im fallin’/
maskio yataniziba akiniita darling/
moyo unanienda mbio,naisoma namba/
mwili mlaini utasema aliumbwa kwa pamba/
hana chale hana shanga/
mimacho imentoka ile kishamba/
sina hakika ni chiicha au ganja za zamani/
ila ana siifa za kuitwa mwandani/
tuchangie shuka,tuchangie majina/
nimshike mkono niende nae dunia nzima/
hook
maua;
umetokea wapi kwani?/
na umetumwa na nani?/
umekuja na uganga wa wapi?/
nilikuwa sawa kabla sijakutia machoni/
sielewi sielewi eeh,eeh
sielewi sielewi eeiiih,eeeh
hook
hata sielewi naona nyota mamaa
hata sielewi naona nyota mamaa
كلمات أغنية عشوائية
- nick grant - nicky bomaye كلمات أغنية
- u.noe loyal - i been كلمات أغنية
- bigg vu - kanye east كلمات أغنية
- seba wonder - favorita كلمات أغنية
- slim dollars - keep up كلمات أغنية
- duzz - remédios كلمات أغنية
- roger k - ballern ballern كلمات أغنية
- robin rogers - what we are worth كلمات أغنية
- unknown artist - someone that loves you كلمات أغنية
- shaggytheairhead - where were you كلمات أغنية