kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

msomali - siamini lyrics

Loading...

siamini _ msomali

eti mama ningependa uwe w_ngu wa maisha
ila ghafla umezira umeondoka
ningependa uwe w_ngu wa maisha
ila ghafla umezira umeondoka

ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)

hivi kweli siamini ni mimi
ameniacha nipo jangwani
hivi kweli siamini mwezenu mimi
kwenye mapenzi nimekosa nini
kama ungekuwa hutaki ungesema
umenipa ukilema
kama ungekuwa hutaki ungesema (ungesema)
umenipa ukilеma (umenipa ukilema)
mwenzako nachеchemea sina pakuegama
na mengi umeniongopea (umeniongopea)
mwenzako nachechemea sina pakuegama
zuwena umeniongopea (umeniongopea)

ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
ina maana unitaki tena (unitaki tena)
unipendi tena (unipendi tena)
mi sitaki hata kusikia, mapenzi gharama weeh
sisikii la kuambiwa, mapenzi gharama weeh
mi sitaki hata kusikia, mapenzi gharama weeh
kaa chini nitakuadithia, mapenzi gharama weeh
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
eti mama
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo
mimi mwezenu
nikizipata mitungi nitamwagilia moyo

msomali hapa

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...