msomali - si unajua (remix) كلمات أغنية
[intro: dulla makabila]
oohohhohh ohohhoho
oohohhohh ohohhoho
ohhhhh
[verse 1: dulla makabila]
kuna muda najikaza tu
ila shemeji yenu hajatulia
nimekuwa fala tu wakinitongoza namwambia
katembwa na rafiki zangu
na wala hajali kama nimejua
nikimblock saa sita
saa sita na nusu namblock ua
ukiniona nimeanza kunenepa
sura ina nuru shavu linatoka
yeye huyoo
muda wote na furaha
na video call zisizo kwisha
yeye huyoo
ukiniona na mawazo
kula siwezi
yeye huyoo
nagombana na watu
kisa mapenzi
yeye huyoo
hili penzi lishakuwa kitanzi
yeye huyoo
linanifanya nikose pumzi
yeye huyoo
ataniua
ananitesa mimi
[pre_chorus: dulla makabila]
si unajua yeye kw_ngu ndiyo kila kitu
si unajua mimi nataka afike kwetu
si unajua nimezaliwa mtu kutu
si unajua mf_koni mimi sina kitu
[verse 2: msomali]
lile serenge serenge dazeni
nishakula vitu vyangu sitaki zeshene
si unajua mtaani wanaita panya
nalivuta kiunoni ukinichanganya
si unajua mtaani wanaita panya
nalivuta kiunoni ukinichanganya
maisha yangu unajua
sina kitu mf_koni fedhea
na wewe unataka tufunge ndoa
je nikuulize unaweza kuvumilia
[chorus: msomali]
si unajua mi mwenzako sina kitu
si unajua baba na mama makapukuu
si unajua nimezaliwa mtukutu
si unajua nasifika wizi wa kukuu
aaah vitamin yooh
كلمات أغنية عشوائية
- nikan - chelsea 2009 كلمات أغنية
- reminor - отражения (reflections) كلمات أغنية
- lazzy2wice - down, down, down! كلمات أغنية
- el_sbstn - 0822 كلمات أغنية
- loé - levantate كلمات أغنية
- tchubi - unmastered.mp3 : "delicia" كلمات أغنية
- trevon hill - luvnhate كلمات أغنية
- florent brack - i wanna know كلمات أغنية
- совет.98 (sovet.98) - мармелад xxii (хаски remix) كلمات أغنية
- islama abdullayeva - bir axşam taksidən كلمات أغنية