
monica bulali feat solomon mkubwa - tawala song كلمات أغنية
Loading...
tawala song lyrics
stanza one
uliniumba nikuabudu
wewe ni bwana wa mataifa
dunia yote yakutukuza
ufalme wako wadumu milele
na matendo yako ni ya ajabu
ushindi wako ni wa kipekee
unastaajibisha twakutuza
tunasema
tawala milele
chorus
tawala aaa aaa aaa
tawala aaa aaa
stanza two
kazi zako bwana tuzilinganishe na nani
umetuumba ili tukuabudu bwana
mimi ni kazi ya mikono yako
ndio maana na imba sababu undani mw_ngi
tawala aaa aaa
tawala bwana aaa aaa
kiti chako kikae kila siku hallelujah
tutapiga magoti hapo kila siku
bridge
wastahili kutawala
wastahili kuabudiwa
wastahili kusifiwa
wastahili kuinuliwa
bwana aaa aaa
chorus
tawala aaa aaa aaa
tawala aaa aaa
كلمات أغنية عشوائية
- dreixneun - schmerz كلمات أغنية
- あいみょん aimyon - マトリョーシカ (matryoshka) كلمات أغنية
- the voltures - don’t waste your life away كلمات أغنية
- azee (pt) - coco كلمات أغنية
- saintseneca - all you've got is everyone كلمات أغنية
- david gentello - froze interlude كلمات أغنية
- joshua bassett - i think i kinda, you know كلمات أغنية
- manii2trill - trill flow كلمات أغنية
- fraank (фраанк) - parallax (параллакс) كلمات أغنية
- trvgedy - voicez in my head كلمات أغنية