
mimi mars - hakuna noma كلمات أغنية
[verse 1]
kama ukiniona nafurahi
jua ni jah ka_bless
na ukiniona najidai
jua ni jah ka_bless
we here today
uko tulipotoka
tulish_ga dondoka
sasa hivi tupo okay
we here today
wala hatujawahi choka
waliodhani tutasota
sasa hivi ndo hawana say
[pre_chorus]
hakuna noma, no kisirani
mwendo wa burudani, yeah yeah yeah
ushanisoma, kama kucheza uwanjani
unamwogopa nani, yeah yeah yeah
wacha waonge
si tunalindwa na baba, eh
ayeah, ayeah
atatushereke
stress, mawazo badae
aye aye
[chorus]
leo party after party
leo party after party
[verse 2]
binadamu hawakosi cha kusema
hata ukiwafanyia jema
bado watakukosea tena
na mungu baba kanipangilia mema
kanipa pumzi na neema
nami naiona nyota njema
[pre_chorus]
hakuna noma, no kisirani
mwendo wa burudani, yeah yeah yeah
ushanisoma, kama kucheza uwanjani
unamwogopa nani, yeah yeah yeah
wacha waonge
si tunalindwa na baba, eh
ayeah, ayeah
atatushereke
stress, mawazo badae
aye aye
[chorus]
leo party after party
leo party after party
كلمات أغنية عشوائية
- green on red - death and angels كلمات أغنية
- courtney barnett - heavy heart كلمات أغنية
- limma - i'm a grinder كلمات أغنية
- jah9 - gratitude كلمات أغنية
- juliengaribaldi - francis cabrel’s “la corrida” كلمات أغنية
- angel haze - gods كلمات أغنية
- h. zaich - bikini kill’s “rebel girl” كلمات أغنية
- dead ties - clear كلمات أغنية
- zj mission - what made me كلمات أغنية
- vicious - santo me كلمات أغنية