mbosso - tulizana lyrics
eeeh, mmmh, eeh
ana vidimple dimple
vishimo shimo mashavuni
mikononi vipiko piko
eti kipini kipo kitovuni
ya nini nibaki kiwiliwili
na kichwa changu ni wewe
iweje pendo kwao liwe pilipili
na twakula wenyewe
mungu kakuumba
mithili ya malaika yayaya
samaki wa kukunja
chumbani unanyumbulika yaya
kwa penzi usitie kibanzi
kitaniumiza ah
upendo ukawa kitanzi
nikajining’iniza
ikienda mrama irudishie
(popoa popoa dodo)
ikikwama kwama isuk_mie
(popoa popoa dodo)
tulizana
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
kama nyota na mwezi
vilo mwana na angani
tung’arishe penzi letu sote
tupeane penzi bila choyo chochote
na bila hiana kwetu sote
elewa mapenzi ni chombo
kinachotuunganisha
ni chombo kinachosafiri
kati ya mioyo yetu miwili ilofaidi
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
tulizana mpenzi tupendane
ikienda mrama irudishie
(popoa popoa dodo)
ikikwama kwama isuk_mie
(popoa popoa dodo)
كلمات أغنية عشوائية
- double cruz - what u need lyrics
- gus dapperton - phases lyrics
- counterfeit (rap) - guest list lyrics
- alex young (3) - music lyrics
- deseness - хочу (want) lyrics
- vrita bralie - lo busqué lyrics
- iglo65 - 65 lyrics
- lil tjay - nobody lyrics
- different boats - why lyrics
- prime harmonies - grilled cheese obama sandwich lyrics