mbosso - maajab lyrics
nana na naaa
naa nana naaa na
naa nana naa na
naa naa nana
moko mokooo
imara kashikilia, mwache avimbe bichwa
wallah kanipatia, anastahili sifa
chumba kizima chanukia, uturi kajifisha
vidole nasimamia, ukingoni nafikishwa
ananikosha mwili, kwa maji ya madafu
ye ndo kocha na ananifunza kucheza rafu
anichua tumbo la ngiri, kwa mafuta ya karafu
nikichoka ananikanda kwa mabarafu
maajab maajab, penzi lake la ajab
maajabu maajabu, mahaba yake ya ajab
maajabu maajabu, penzi lake la ajab
maajabu maajabu, mahaba yake ya ajab
kifuani hunipaka halua, mikono tende an_z_chambua
anilamba
kitandani humwaga maua
mingine hata chembe sikuwa najua
anitoa ushamba
na nitake nini kwake ? niombe nsipewe
iwe pemba ama chake chake, nichague mwenyewe
kanipa pombe roho yake, ninywe nilewe
mambo shega ni mwake mwake, mangaka msewe
libandike penzi kama gazeti walisomе
tuwaadabishe sangara shombo vibetwe tuw_ng’ong’е
nikila nilishe chapati za alizeti ninone
tuwafungishe midomo uzi cement tuwashone
ananikosha mwili, kwa maji ya madafu
ye ndo kocha na ananifunza kucheza rafu
anichua tumbo la ngiri, kwa mafuta ya karafu
nikichoka ananikanda kwa mabarafu
maajab maajab, penzi lake la ajab
maajabu maajabu, mahaba yake ya ajab
maajabu maajabu, penzi lake la ajab
maajabu maajabu, mahaba yake ya ajab
ayo laizer
wasafi
halua halua, hunipa vitamu laini laini
halua halua kinyama cha hamu, uhondo utosini
halua halua sili kwa kijicho nalishwa kwa ulimi
halua halua napewa hadi vya miko sasa nitake nini
كلمات أغنية عشوائية
- priince k - speed racer 2 lyrics
- rain jolix - idk lyrics
- runganø - northside* lyrics
- chris bandi - 2 wrongs lyrics
- kamuran akkor - bu şehri terk edeceğim lyrics
- reece brunke - devil in disguise lyrics
- jeremy crouse - king of my heart lyrics
- blackcats (uk) - your own hell lyrics
- sickgoat - this life is a blur lyrics
- sofie svensson & dom där - bara brudar lyrics