![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
mbosso - limevuja lyrics
oooh, oooh maya aah
(nusder)
si umesema mi baniani mbaya
na uwepo w_ngu kwako sio dawa, haya aah
penzi nikashona tenzi na riwaya
kwenye moyo wako livae liwe sawa, limepwaya
napuliza majivu maana moto siuoni
kooni maumivu vumbi larudi machoni
ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni
imeniponza huruma kirungi
kujitisha k_msaidia
k_mbe katoboa mtungi
maji yananimwagikia
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena aah
ulisema sikiwambaza
penzi letu ukuta wa chuma
nikitoka kiwalaza
utanistiri nywele za nyuma
mara kwa mara ulilia
kifuani umenilalia
ukijuta unayachukia
yale ulopitia
eti kama mimi hujaona
wa kufanana naye
asa mbona hukusema
kama ushakutana naye
napuliza majivu maana moto siuoni
kooni maumivu vumbi larudi machoni
ahadi za mbivu zimebaki ndotoni
lile penzi tulivu leo lipo kikaangoni
imeniponza huruma kirungi
kujitisha k_msaidia
k_mbe katoboa mtungi
maji yananimwagikia
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena
penzi limevuja tena aah
كلمات أغنية عشوائية
- vauchok - шашлындос lyrics
- nino ferrer - c'est irréparable lyrics
- brayan martinez - te quiero tener lyrics
- saint purple - scientology lyrics
- (sic)boy as sid the lynch - last dance lyrics
- dopamine mind tricks - your the most beautiful woman to me lyrics
- aeonic impulse - existing within the rem lyrics
- ankoor - aftertaste lyrics
- mar$hall (dbg) - sick! lyrics
- dj ree-ree - don't move lyrics