
mbosso - haijakaa sawa كلمات أغنية
sasa unanuna nini?
au unadhani hata mimi napenda
nishazichoka na mimi
mboga za majani kila siku mlenda
siko juu siko chini
niko nusu sadoo
sio wa k_mi si sabini
ngoma ngumu bado
kama ibada naswali sana usiku wa manane
tena nafunga na suna
mambo bado bado mwana wane
naona yan_z_di kuguma
nikirudi na hasira hasira (nizoee)
mambo magumu bado bila bila (niombee)
nikirudi na hasira hasira (nizoee)
mambo magumu bado bila bila (niombee)
halijakaa sawa (nivumilie ipo siku tutapata)
halijakaa sawa (shida na dhiki zitakwisha baby)
halijakaa sawa (kuchana kope make up utapaka)
halijakaa sawa (tutabadili mboga kuku kwa manyama)
chochea kuni kipenzi changu
asubuhi tumbo likik_ming’inya
pokea kidogo changu
tunywe chai na mkate wa k_mimina
akili ikichoka riziki nikikosa
najua kwako nitajiliwaza
kama makosa nivute chumbani
kununa nuna unajilemaza
ustahimilivu mnao wachache mno
jua shida rafiki wa mbivu baada ya
dhiki mavuno kila jema lina maumivuu
na kwenye waliomo tumo
yarabi salama tupe tulivu
penzi lisifike kikomo iyeee yeee eee
nikirudi na haasira hasira (nizoee)
mambo magumu bado bila bila (niombee)
nikirudi na hasira hasira (nizoee)
mambo magumu bado bila bila (niombee)
halijakaa sawa (nivumilie ipo siku tutapata)
halijakaa sawa (shida na dhiki zitakwisha baby)
halijakaa sawa (kuchana kope make up utapaka)
halijakaa sawa (tutabadili mboga kuku kwa manyama)
كلمات أغنية عشوائية
- tigerberry & haunt you - get out كلمات أغنية
- christina shusho - mapito كلمات أغنية
- sofá kids - mar كلمات أغنية
- superior - misty كلمات أغنية
- preachers - believer كلمات أغنية
- всё равно - пора по барам كلمات أغنية
- cuca roseta - triste sina كلمات أغنية
- el tachi feat. roazter - delito كلمات أغنية
- nvdes - my mind is كلمات أغنية
- mcphillip ramon - i was always naive (mama always told me remix) كلمات أغنية