kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

maua sama - namwachia كلمات أغنية

Loading...

[verse 1]
yangu furaha, imegeuka majuto
kicheko kimegeuka kilio
ila ninaamini wema hauozi umenipa mazito, me naumia hey
nilijua utanifuta machozi umenipa majonzi, me nalia

[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w_ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni

[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)

[verse 2]
nilikupa muda na vyote vilivyo vyangu
ila malipo ya yote kunitukanisha na ndugu zangu
kweli mzoea vya kunyonga vya kuchinja haviwezi
nimelijua sawa
moyo w_ngu umeuchakaza
umehondomola mpaka gunzi
wema umenilipa ubaya
sitoshindwa hata tukionana
kuachana sio uhasama
sintothubutu kuzozana nimekunawa
nakuombea kheri salama
umpate yule mtakae wezana
k_mbuka kugunga zipu bwana msije kwazana
[pre chorus]
zangu hisia nilishindwa kuficha
wazi wazi ukatambua
na ndonga ukanpasua
w_ngu rafiki, wote ulowajua
na nguo ukawavua, pasipo me kujua
wacha nikae pembeni

[chorus]
(namwachia mungu tu)
labda kuna mahali nilikosea
(namwachia mungu tu)
kesi yako kwake nakushtakia
(namwachia mungu tu)
maana umezidi kunionea
(namwachia mungu tu aaaahh)

كلمات أغنية عشوائية

كلمات الأغنية الشائعة حالياً

Loading...