matonya - pili pili lyrics
mi natamani moyo ungekuwa kiwanja ningekupa ujenge kama ruby, dhahabu, ndio ticket ningechimba kwa jembe
ulivyo umbika mamaa nyuma kama mlima eeh usije niacha na ndoto kwenye kona haki ya nani nitazima
mi ndo wako mtimaa maa we dumuzi nimalizee(nimalizee eeh) sitaki nikukosee we nimalize aaai
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
hata ukiweka kwa maji bado tu inaniwasha ukichombeza na ndizi je? bado tu itaniwasha
penzi letu liwe siri(tarama) kuepusha majangili(tarama) wasije pora watanikili(tarama) nishinde mkono wa shavu sio dili(tarama)
nina mipango mingi nawee tokea zamani ugomvi wa simu tupa kulee kizamani
aii baby mi nawee(nichum chum) wali tupakulee(nichum chum) eh mi nawee(nichum chum) baby mpaka kulee
aii baby mi nawee wali tupakulee eh mi nawee menya ndizi nilee
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
hata ukiweka kwa maji bado tu inaniwasha ukichombeza na ndizi je? bado tu itaniwasha
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
aii baby mi nawee(nichum chum) wali tupakulee(nichum chum) eh mi nawee(nichum chum) baby mpaka kulee
aii baby mi nawee wali tupakulee eh mi nawee menya ndizi nilee
nichum chum nichum chum nichum chum nichum chum
كلمات أغنية عشوائية
- apagón - chicos de... lyrics
- matt maher - echoes two lyrics
- coda chroma - ants lyrics
- miley cyrus feat. dolly parton - rainbowland lyrics
- exo - beat maker (sehun solo) lyrics
- rey hart - kapan ubah status lyrics
- morissette - naririnig mo ba lyrics
- particles in motion - z lyrics
- cynthia luz - olhares lyrics
- stxnga feat. dj maze - love me (feat. dj maze) lyrics