
matata - intro lyrics
[intro: phy]
mum alisema, “your the brightest star
na usisahau that my love for you will go far
[interlude 1: matata mums]
naitwa naomi mwikali (ndio mama ken)
bancy nyaguthie (mimi ndiye mama richie)
patricia milanya (mimi ndiye mamake fred)
kwa majina naitwa everlyne ojiambo (mimi ni mama marcus)
lucy nyoroka (mama ya fezzo)
richie akiwa class two hapo alikuwa ye anadance tu
marcus akiwa na miaka k_mi alitokea kwa kikundi ya kanisa
nilijua huyu mtoto alikuwa na talent akiwa three years na nikambia mungu kwa sababu yeye ni mungu ambaye hukuza talent amtangulie
alikuwa anapenda muziki anapenda kudance
[break]
matata, matata, matata
matata
[interlude 2: matata mums]
na mimi huwa napenda hizo nyimbo zote
lakini wimbo yenye napenda zaidi ni ‘mare mare’
‘mapema’ very first ilinifurahisha mpaka hata wa leo
hii yenye ilitoka wanaimba ‘come baby, come baby’ hiyo ndio napenda sana
ile ya uthoni inaitwaje?
‘ruracio’ ndio na skizanga nikasema hawa watoto wamefikiria nini kuimba hiyo ya uthoni
naskiza na kwa makini sana kwa sababu ninajua kama sasa mambo ya ruracio that is ‘dowry’ then wako gangare
كلمات أغنية عشوائية
- el guero y su banda centenario - ven tu lyrics
- game theory - curse of the frontierland lyrics
- hajis kitchen - day after day lyrics
- james brown - papa don't take no mess lyrics
- jeff beck - blues stay away from me lyrics
- john denver - you fill up my senses lyrics
- loud family - sodium laureth sulfate lyrics
- natural four - can this be real lyrics
- paulina rubio - causa y efecto lyrics
- sam neely - you can have her lyrics