marlaw - bembeleza كلمات الأغنية
nipesa simu nibembeleze
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui bembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kila time nakuangalia usoni ma
sio kamaa nakosa neno kusema
ulivyo ma anafanya kosa kunena
ingawa moyo hautaki kunena tena
wazo kichwani lina beep (kukueleza)
ila vibaya ukinijibu (bembeleza)
nahisi sijui bembeleza
utakataa halafu mi utaniumizaa
kidesign nakuangalia usoni ma
kuna sign za kuita huko machoni ma
kitu fulani umehifadhi huko moyoni ma
unachotaka nianze mikusema
hapa unafanya nijione (nitashinda)
hapa unafanya nitamke (nakupenda)
ilaunacho jibu mdomoni nitofauti nausеmacho machoni
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
pleasе usikate ma
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
kati yetu imetawala rangi ya pinki (pink)
kitu ambacho moyoni siridhikii
nacho kuomba tuwe zaidi ya marafiki
inajionyesha machoni unaafiki
lugha ya macho kwa sasa (nakataa)
tataka tuongee ilitufikie (mwafaka)
oooh aaah, aaah
kwenye party ulikuja umependeza
kwenye traini ukaniomba mi kucheza
tukadance na macho umelegeza
ulinibamba nikaficha kukueleza
unanimaliza
mimi ninakweleza
minakupembeleza
baby please baby girl
vile unatamka
wewe kuona nataka
tuonge ana kwa ana
baby please baby girl
we dada mi unaniumiza
we dada sijamaliza
mbona unakata simu
please usikate ma
hey hey h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
h_llo ma
laiti ungekuwa unaniona
vile kila time nakonda nawaza
kama kukupata nitaweza
jinsi gani kukueleza
au mi sijui kubembeleza
usinikatae utaniumiza
nakupenda kukutenda sitoweza
hooow (hooow)
sasa kama (kama)
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
umenielewa mbona
unachelewa sana
nambie nije, nije sasa hivi
كلمات أغنية عشوائية
- andres do barro - corpiño xeitoso كلمات الأغنية
- ninah bartilotti - beijei uma menina كلمات الأغنية
- agarrate catalina - vidas comunes كلمات الأغنية
- adventurer - cold blooded كلمات الأغنية
- mind da gap - esta gente sente كلمات الأغنية
- amarionette - get it right كلمات الأغنية
- ponto nulo no céu - subsolo كلمات الأغنية
- marcuz junior - tatuagem كلمات الأغنية
- whitesnake - i need you (shine a light) كلمات الأغنية
- banda flórida - a vaca da minha mãe كلمات الأغنية