
marioo - wauwe lyrics
dengula nyonga msokoto
maana mimi nimekuja na bapa
masha luv wee lete watoto
wanyonyonga party za kukata
nyumbani mimi nimechoka
mavitu ya mama
nataka dhuluma dhuluma eeh
nipate ndogo ndogo baridi mwanana
[chorus]
kama kuna nyama choma fire
mapucho pucho
akikupa kwenye kona gwaya
nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
wauwe! wauwe! wauwe! wauwe!
[verse 2]
maritili, ka dinner
na anataka piece kama wema
j_po kitu kama mkono, mkono
ata kwenye giza ndo kudema
mama mama jishikilie
nabadilikia kilimani
oooh mama mama nitilie
kama tandoni na ukokoni
[chorus]
kama kuna nyama choma fire
mapucho pucho
akikupa kwenye kona gwaya
nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
wauwe! wauwe! wauwe! wauwe!
alkaida! na kama alkaida!
alkaida! na kama alkaida!
wauwe! wauwe! wauwe! wauwe!
Random Lyrics
- calvin harris - i need your love (r3hab remix) lyrics
- ronnie c - tomorrow can wait lyrics
- itswavemusic - zone lyrics
- chinny - rotate lyrics
- denner / shermann - angel's blood lyrics
- we are the city - when i dream, i dream of you lyrics
- мс хованский (mc hovansky) - sobolev diss challenge lyrics
- joey pass - that flow lyrics
- chase. c - found lyrics
- trick blue - coffee shop girl lyrics