marioo - ifunanya lyrics
hmmmm… hmmm yeah
baby nipe mimi tu
vile vya uvunguni
mwenzio kwenye mapenzi
nishaenyeka
nifikishe mpaka juu
mawinguni
mwenzio kwenye mapenzi
nishaenyeka
kama koroni sina hata moyoni sina
( zaidi ya wewe)
chaguo linguine sina
ndio maana nakufata nizikwe na wewe
acha nikwambie tu
hii siri ya moyo w_ngu
hata nikificha mboni zitaniumbua aah
acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
na huwe w_ngu wa milele niwe wako
ifunanya … ifunanya
ifunanya … ifunanya
nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka
hile kutapa tapa kama mufa maji nkakorofoka
nikawa na chembe ya ukicha aah
mikasa ya mapenzi inakorokocha
simanzi kutwa kuccha sijiwezii iih
basi chonde chonde iwe mwisho na usije nikatili
hayo majeraha uniuguze uniuguze
illa acha nikwambie tu
hii siri ya moyo w_ngu
hata nikificha mboni zitaniumbua
acha nikuonyeshe kina
na upana wa mapenzi yangu
na uwe w_ngu wa milele niwe wako
ifunanya … ifunanya
ifunanya … ifunanya
aaaannhh mwenzio ooh
ifunanya
kwako wee ndo sijiwezi
ifunanya
hata nyendo sina aah
mbele sioni iih
ifunanya
nakupendaga wewe tu (ifunanya)
hmmhh yeahh … hmmmmm
كلمات أغنية عشوائية
- no man (usa) - the set-up lyrics
- jett mucicca - face lyrics
- goody - детройт (detroit) lyrics
- last reason - ты не такая (you are not like that) lyrics
- funky dl - thy mother & father lyrics
- shulyaba - shine of the moon lyrics
- dolu kadehi ters tut - aynen lyrics
- mj fresh - i can make it lyrics
- pisstin - my crush texted me back lyrics
- kelora - forget me not / song from earth lyrics