marioo - asante lyrics
mmmhh
ivi mapenzi ni kitu gani?
mbona sa hayana huruma mmhh
haya mapenzi ya nani ii?
huku mbele ah yamekuja kuwaje aah
gafla kila ninacho fanya hakimpendezi
eti namkera
na kasema akinifumania wala haimchomi
nafwata kila anachosema sijiwezi naunga tera
ila sababu ananinunia wala sijui
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama mapenzi nilimpaga yote naumia sana
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama hizi hapa ndo fadhila oyaa asante
asante
asante
asante
mi nawawaza majirani wanaojua nakupenda
ina maana wakiniona watajua sipo sawa
nikawakwaza kisirani popote ninapo kwenda
haya maumivu nani aje kuntua mwenzenu napagawa
mmh si sio mbaya kujisevia unachojisikia
hiki kipindi mi nalia hukosi wenzangu wanafurahi
si sio mbaya kujichimbia ulipopenda dear
hata kama nikilia sawa wenzangu kufurahi
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama mapenzi nilimpaga yote naumia sana
ubaya nilimpenda sana
ukweli nampenda sana
na kama hizi hapa ndo fadhila oyaa asante
aah mh mh eehh
asante
eehh mh hm aaah
asante
mmmh ehh eh mmhm
asante
oyaaaa mhh aaahh
aaaaah
asante
كلمات أغنية عشوائية
- bissiboi - wydsteps!s lyrics
- gianfranco molle - la vojo lyrics
- jes, (can) - lifeliner lyrics
- zodiak - i like dat.. lyrics
- zara larsson - chiquitita* lyrics
- marjety - walk out the house lyrics
- tommy womack - wishes do come true lyrics
- jae stephens - high my name is lyrics
- rockit music - one bite (live) lyrics
- beverley martyn - potter's blues lyrics