
marion shiko - ahadi zake lyrics
nafsi yangu usichoke, roho yangu msifu bwana
alihadi atatenda, mtumanie bwana
ahadi zake ni za milele, akiahidi atatenda
roho yangu nafsi yangu, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
mawazo yake sio yetu, njia zake si kama zetu
mbingu zilivyo juu ya nchi, mawazo yake ni makuu
ataagiza fadhili zake, wimbo wake kw_ngu usiku
sifadhaike usiiname, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
kama mvua ishukavyo, toka mbinguni kwenye ardhi
na neno lake kwa kinywa chake, halitarudi bure
litatimiza mapenzi yake, litatenda alivyo sema
aliahidi atatenda, mtumainie bwana
Random Lyrics
- anatii - god my best friend lyrics
- lilcak3 - ва эй (va ay) lyrics
- larry june - so organic lyrics
- michael learns to rock - it's gonna make sense lyrics
- yung vacuum cleaner - asia lyrics
- graace - spoken word lyrics
- mary mortem - bat on my shoulder lyrics
- malik ferraud - roll with me lyrics
- royal arm - royal arm - kappa lyrics
- yung_xpozetm ft. the oven & thenikonly - why are you running lyrics