![kalimah.top](https://kalimah.top/extra/logo.png)
luqman atigh - mama lyrics
nani kama mama?
katika hii dunia
kwa mapenzi na huruma
mfano hajatokea
nani kama mama?
katika hii dunia
kwa mapenzi na huruma
mfano hajatokea
mama
mama
kipenzi cha moyo w_ngu
faraja ya moyo w_ngu
kipenzi cha roho yangu
amenikirimu mungu
ni mama
ni mama
ni mama
ni mama
ufunguo wa maisha yangu
na dhamana ya pepo yangu
ni mama
faraja ya moyo w_ngu
kipenzi cha roho yangu
amenikirimu mungu
ni mama
hata ukiwa na dhiki
mama yako hakutupi
kukucheka hadiriki
ni mama
hata ukiwa na dhiki
mama yako hakutupi
kukucheka hadiriki
ni mama
haijalishi ntavokuwa
mama utanipokea
mzuri au mbaya
wewe hutonibagua
haijalishi ntavokuwa
mama utanipokea
mzuri au mbaya
wewe hutonibagua
chuo changu cha kwanza
ni wewe w_ngu mama
maadili umenifunza
ili niwe mtu mwema
maadili umenifunza
ili niwe mtu mwema
rabbi umrehemu daima mama yangu
kila lake gumu
mfariji mola w_ngu
mama yangu umrehemu
nakuomba mola w_ngu
كلمات أغنية عشوائية
- marc almond - torch lyrics
- feat yung berg pitbull - un poquito (feat. yung berg) - pitbull lyrics
- soraya - naufrago lyrics
- deana carter - katie lyrics
- john berry - america the beautiful (live) lyrics
- peter maffay - sorry lady lyrics
- worth dying for - take me away lyrics
- peabo bryson - never saw a miracle lyrics
- whitesnake - tell me how lyrics
- patricia kaas - syracuse lyrics