leteipa the king - mwambie lyrics
verse 1
nimechoka k_meza mate, wenzangu wakila nyama
nachotamani anipakate
awe mitchele niwe obama
siku hizi nimewa chizi
kila muda nafikiria
kile mi nitampatia aingie kwa box
anajifanya busy
hataki kunisalimia, anadhani ntamtumia nimtupe kwa choo
hook:
mwambie ntafanya chochote ili anikubalie
ntaacha dawa na pombe ili afurahie
ntaenda sunday kanisa sadaka nimlipie
nitajifanya sofa aje anikalie
chorus
(aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
verse 2
natamani niwe yake simu, anifinye kila saa
awe stude niwe mwalimu iwe lazma aniite sir
huwa nahisi wivu , rafiki wakimk_mbatia, wakati sinawahi msalimia nakanyaga kivuli
na nina maumivu, natamani k_muambia, ila mashindwa vile ntaanzia ameweka kifuli
hook:
mwambie ntafanya chochote ili anikubalie
ntaacha dawa na pombe ili afurahie
ntaenda sunday kanisa sadaka nimlipie
nitajifanya sofa aje anikalie
chorus
(aeaeaeaaah) mwambie sitaki mwingine
(aeaeaeaaah) ni yeye tuuu
(aeaeaeaaah) nitampa chochote pengine
(aeaeaeaaah) hata nimpeleke majuu
كلمات أغنية عشوائية
- ismo - niet terug lyrics
- re-pac - прометей vs. спартак (prometey vs. spartak) lyrics
- clara valverde - tudo bem lyrics
- gutto - acabou lyrics
- lav!$h_3028 - rip john doe lyrics
- cuba de zoo - w każdą stronę lyrics
- eric ayotte - long way home lyrics
- danny michel - luckiest man in the world lyrics
- fleshgore - no way out! lyrics
- lycia - nimble lyrics