
lady jay dee - yahaya كلمات أغنية
(instrumentals)
[chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
[verse 1]
huyu kijana mwenzetu kila siku tupo nae maskani
anakula ofa za watu, anapoishi hata hapajulikani
tumetafuta, tumeuliza, ‘hakuna ajuaye
anavyo zuga, anavyo pita, si umdhaniaye
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k_mbe hana hela
(longolongo nyingi)
[chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
[verse 2]
kwa stori za vilingeni
utafikiri kweli yeye ndio bosi
suruali zake na mashati
anasema anafanya kazi benki
mara anasema usalama wa taifa
hakuna ajuaye
[kalubandika] wa kizazi kipya
usomdhaniaye
[hook]
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k_mbe hana hela
(oh, yahaya)
[post_chorus]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
(oh, yahaya, oh, yahaya, oh yahaya)
(instrumentals)
[hook 2]
mara anasema usalama wa taifa
hakuna ajuaye
[kalubandika] wa kizazi kipya
usomdhaniaye
[hook 3]
na hafanani kabisa na fix anazofanya
akidanganya kwa kina, unaingia kingi, unafata
k_mbe hana hela
[outro]
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, eh
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
yahaya unaishi wapi?
kwani jina lako halisi nani?
yahaya, еh
maskani yako kinondoni
nyumba namba haijulikani
yahaya, eh
كلمات أغنية عشوائية
- emblem3 - don't know her name كلمات أغنية
- foreign beggars - hold on كلمات أغنية
- francesco effelle - rispondi كلمات أغنية
- the dwellas - ill collabo كلمات أغنية
- slim_alex - (freestyle part 2) كلمات أغنية
- l-tido - blacksuit كلمات أغنية
- dream maker - love 4 real كلمات أغنية
- jaysavage600 - black card كلمات أغنية
- nvscvr - hell كلمات أغنية
- i-exist - a secret calling كلمات أغنية