kalimah.top
a b c d e f g h i j k l m n o p q r s t u v w x y z 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 #

lady jay dee - lololo lyrics

Loading...

[intro]
this is (?)
mmm
don’t cry (?)
komando jide

[chorus: lady jaydee]
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo

[verse 1: domokaya]
siji huko ‘mi sio kipofu
machale kundesa
michael dudikoff
niwafate, ‘mnitose
nidondoke nusu mahututi
nife, mlie machozi bandia
mnivishe suti
jeneza shimoni
mpiga chepe amwage kifusi
hih_hih, hih_hih
komando afi kizushi
(mmm)
nilistuka, nikanyuti ‘nikagundua mna chuki
misimamo imezidi
mi sifati mamluki
na kaza hata ikibidi
kufunga mkwiji chupi
na heshima kubwa street
wasije kuniona stupid
aka!, siwafati ng’o
ni bora nilale njaa
hamnipi dili ‘mnaniita nije tukeshe bar
kila saa’
niwalambe miguu, niwaombe msamaha
sawa mtu mzima arudie utotoni kutambaa
siji huko
mashairi, mtashangaa
hili dege la jeshi (?) bado mnapaa
nah, nah
nawaambia
siji, siji huko
siji, siji huko
hatakama nitapotea (na_)
siji, siji huko
siji, siji huko
hatakama nitapotea

[verse 2: lady jaydee]
eti nimekwama wapi?
na we ulinishusha
eti nimeshuka chati
kwani we ulinipandisha?

[chorus]
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo

[verse 3: lady jaydee]
komando jidе, ‘roho ya chuma
hii ni mungu amepanga
kutikisa huu mwamba
inabidi kujipanga (jide)
wanataka nife kifo cha mapanga
hеy, hey
[pre_chorus]
nawaambia
siji, siji huko
siji, siji huko
hatakama nitapotea (na_)
siji, siji huko
siji, siji huko
hatakama nitapotea

[verse 4: lady jaydee]
mi sirudi
wala sipitii
njia hiyo yenye miba
kamwe sijutii
na sifikiri
kukalia tu ujinga
na sema leo…
na iwe mwisho
singoji kesho
ni (?) umauti

[hook: domokaya]
nilishasema siji huko
hata nije fata nini huko?
mbona hapa nilipo safi
panatosha, ‘sina majuto
nilipo toka ni mbali mno
nilipo toka ni mbali mno (hiih…)
[outro]
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo (hey, hey)
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo (lololo)
wacha we
lololo
wacha we, ‘wacha hizo (oh, lololo)
wacha we (lololo)
lololo
wacha we, ‘wacha hizo

كلمات أغنية عشوائية

اهم الاغاني لهذا الاسبوع

Loading...