
lady isa - dunia lyrics
samkana mama eba na lavii,
masalakana na soka na phina.
samkana mama eba na lavii,
masalakana na soka na phina.
oooh mwanangu dunia ina mambo sikia maneno nakuambiaga,
mpe roho yakoo mola wako, heshima kwa wazazi eeh mwanangu.
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
chunga mwenzio atakudanganya, kwa yoyote ile atapenda yeye,
kipenda rohoo kila mtu na yake,
yake ni yake na yako ni yakoo
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
mwendo wa kobee mayelemayele,
mwendo wa chui kuwindawinda,
mwendo wa nyoka luk_mbaluk_mba,
mwendo wa ngalama kwa njia ya paradii.
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
taabu na raha ina kungojea inategemea akili yako…
tafuta eeh… utapata eeh…
k_mbuka maneno nakuambiaga…
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
instrunmental
chunga mwenzio atakudanganya, kwa yoyote ile atapenda yeye,
kipenda roho kila mtu na yake,
yake ni yake na yako ni yakoo.
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
taabu na raha ina kungojea inategemea akili yako…
tafuta eeh… utapata eeh…
k_mbuka maneno nakuambiaga…
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia,
dunia hii mama luk_mba luk_mba,
dunia ina mambo mwendo wa ngamia
prolonged instrunmental…
samkana mama eba na lavii,
masalakana na soka na phina.
samkana mama eba na lavii,
masalakana na soka na phina.
Random Lyrics
- hendrixugk - leather seats lyrics
- kassav - soleil lyrics
- lord gary - keep going lyrics
- iamsu! - yeah yeah lyrics
- justin ramdin - as time has past lyrics
- sapient - playdough lyrics
- warren g - in case some shit go down lyrics
- the red army choir - dark eyes lyrics
- pain (swe) - hate me lyrics
- mc janota - como é que isto aconteceu? lyrics