ksonrap - nitachana lyrics
[intro: ksonrap]
yeah!yeah
word up son!
“word is born”
ksonrap
aahh (skia)
[verse 1: ksonrap]
nitachana mpaka uzee kama sugu;
wakiloga nitachana kwa ishara kama bubu;
sitoacha nitachana kama rado kwenye kutu;
kama stopa nitachana style zaidi ya tatu;
nini tuzo nitachana kama nash msinipe ata buku;
piga kiki piga snare mandavaku nitachana bila guitar bila dufu;
nitachana kwenye nguzo na misingi bila promo za mabantu;
gangsterr nitachana kama guru nitachana kiukombozi fikra ziwe huru;
mkinipa mic nitachana mpaka ikulu miaka tele nitachana kama salu;
nitachana kama sloter wa majitu; lwp majitu
mtoto wakiume nitachana kama geez mabovu;
nitachana kama wembe wabaki na makovu;
kitaani most wanted nitachana kama d kn_b nitachana kama d rob;
nitachana kino nitaibeba mabegani kama nyandu nikiondoka mnik_mbuke kama dandu;
nitachana kama lufu kwahizi tungo heavy kama lindu;
hakuna chakuogapa chini ya mbingu sitochana kuhusu chuki wala wivu;
nitachana kiafrika kwa baraka za machifu masharifu;
mawalii manabii watukufu turudi kwenye tamaduni zetu;
sasa ndo nachana deep kama mansulii kina kirefu;
“sinza star”
rest in power mac2b:
[verse 2: ksonrap]
nitachana kama s.
كلمات أغنية عشوائية
- slzif - emocije lyrics
- youngozza - баленсиага lyrics
- pyogenesis - you and your band lyrics
- corrinne may - beautiful life lyrics
- coldharmy - gone girl lyrics
- lara snow - ghost lyrics
- the jackson 5 - call of the wild lyrics
- sophie michelle - imperfectly perfect lyrics
- blind guardian - a voice in the dark (demo version) lyrics
- no - what's your name lyrics