
ksonrap - nimechafukwa كلمات أغنية
[intro]
ksonrap
yeah!yeach
ahhhh
[verse:1]
wanaoni attack wanao ni handaki;
waniskii kwenye biti za salii na della funk;
kwenye cycle yangu hakuna waki;
bonge la bati hatucheki charlie champlin
wala comedi za basati,nyie ma young..
mnaojiona making..baada ya chid kuwa junkie;
nakinukisha kama bangi;
usiletee upimbi.. kwenye maswala ya shilingi mi mangi;
uliza cassblack navyo run.. mitaa flani ya jobegi kama randi..
popote kambi kiuwandishi mahatma gandhi..
naona fid yupo na chino.. wanna man wanakata mauno kama kangi;
unachafua hali yahewa kama mange..
walete kati wakalie middle finger chimakeke..
wapo naija wanacopy amapiano wazee wajeje..
nyie machawa tu mtapiga sana debe..jua kali uza genge;
baada ya mtambo mi ndo mfalme naeitawala kigamboni..
kunzia geza mpak dege..na dawa nikuwatembezеa mpini hawa majembe..
nasitoacha kuiwakilisha kino.. ukizingua navunja taya.. nahakikisha umetapika pia na jino..
sio mandonga tu kwahiz panch ananiogopa pia mwakinyo..
wanajiita mcee wakati ni watupu kama madеncer wa casino..
wakitoa kanda mseto sampuri zibuma kama shino..
كلمات أغنية عشوائية
- viceversa - cut the paper track كلمات أغنية
- suburbia - always كلمات أغنية
- baker anita - rules كلمات أغنية
- riblja corba - neke cudne materije كلمات أغنية
- subway to sally - where is lucky? (a foreign face in a foreign land) كلمات أغنية
- riblja corba - nemoj da ides mojom ulicom كلمات أغنية
- lloyd - my valentine كلمات أغنية
- baker anita - you bring me joy كلمات أغنية
- baker anita - sweet love كلمات أغنية
- riblja corba - odlazak u grad كلمات أغنية