ksonrap - nchi yangu lyrics
Loading...
nchi yangu ibarikiwa milima mabonde bahari na maziwa;
ardhi yenye rutuba kwa kilimo cha mpunga mahindi maharage mpaka miwa, uwoto wa asili ;
ufugaji wanyama kama ng’ombe mbuzi na ndege kama njiwa;
historia za machief wakati wa ukoloni nakabla hatujatawaliwa ukija utahadithiwa;
pita bagamoyo zanzibar mpak kilwa;utapata vinjwaji asilia kilimanjaro kuna mbege korogwe kuna ulanzi mn_z_ mpaka piwa;
bungeni kuna siwa, madini yakila aina tumetunukiwa;
hakuna ukabila ukija hauto baguliwa,amani na upendo hauto bugudhiwa;
watu wake majasiri kama kijana majaliwa;
inabidi tuwe wazalendo tulinde nchi mali nisije zikaibiwa;
sio tu flyover ndege za abiria na mizigo zimeisha nunuliwa;
كلمات أغنية عشوائية
- the rubens - soso lyrics
- north point insideout - bless your name lyrics
- la constellation - dualité lyrics
- a-reece - welcome 2 my life lyrics
- santiago benavides - aprendimos lyrics
- hellowbite22 - бэйби (baby) lyrics
- original cast of ordinary days - life story (reprise) lyrics
- dollar - esto es así lyrics
- bob schneider - napoleon's palace lyrics
- mehdi - détend-toi lyrics