
ksonrap - napotokea كلمات أغنية
Loading...
napotokea nikisanga nilipo panga;
kipohuku kilichomtoa manyoya kanga;
mbele kwa mbele wananchi wanaisoma namba;
vyuma vimekaza tumekonda;
hakuna wakusubiri majibu angaza;
utakacho kiona hutakiwi kutangaza we nyamaza;
sekunde tu wanakinukisha kama hamza;
miujiza zaid ata ya mwamposa bulldozer;
wazee wakupuliza chumaulete kwenye mtaji wakaranga;
mpak vibabu vinavuta kushabu tu maganja, mirungi vina chanja;
kabla huj_pigwa ndumba wahi wewe kwa waganga;
hatulali kwa raha juu ya bati sauti tu za paka;
kila mtu anakunja huku hakuna atakae kupa dili za mkwanja;
utagonga mwamba full ngwamba huku huwezi tamba;
alie iga kunya kwa tembo huku alichanika msamba..
كلمات أغنية عشوائية
- low - home كلمات أغنية
- karate - this day next year كلمات أغنية
- lovers - oh silent night كلمات أغنية
- luminous orange - rusty wheel كلمات أغنية
- luther allison - dust in my broom كلمات أغنية
- luke haines - in the bleak midwinter كلمات أغنية
- loudness - rock the nation كلمات أغنية
- loudon wainwright iii - when you leave كلمات أغنية
- low - because you stood still كلمات أغنية
- karate - airport كلمات أغنية