ksonrap - mtaani kwangu lyrics
yeah!..
ksonrap!
you know what i mean
naskika toka swazi sogodo ndani ndani;
mchakamchaka machata na machizi waliopinda; mangeu manyang’au misokoto ya majani;
babu na wajukuu wote wanaghani;
panyarodi kila chocho kila siku mahakamani;
chafu tatu mwisho wasiku huna kitu mf_koni;
bado tuna komaa tu na fani..tupo chimbo kama apolo mererani;
nyapara gerezani makachero wanatusachi hawatukuti hata na jero;
wengine walisepa stoloway wakatoswa na mgiriki baharini;
harakati magilini vituko uswahilini kichapo cha ugoni;
hakuna wakukudhamini mapoti wakiwakutia tu mbaroni;
nahii ni last warning next wanakulenga kwenye utosi;
mikosi tunafusi mimoshi maskani za wakushi;
hatuna habari kama vile tupo bush;
life la huku lina tia tu hasira;
kuokota makopo imekuwa ni ajira hatuna dira;
كلمات أغنية عشوائية
- funkoars - team idiot lyrics
- lastnghtshy - mad at you lyrics
- robbie williams - when you know lyrics
- tylerthegemini - poem lyrics
- sch - mauvaises idées lyrics
- wen - play your corner lyrics
- ed sheeran - guiding light - cover lyrics
- les ogres de barback - le délire des deux alcooliques lyrics
- hasi - חאסי - lo roe - לא רואה lyrics
- emma gatsby - 2 steps lyrics